Wakati fulani simu yako inakosa chaji kwakuwa hakuna umeme nyumbani kwako au wakati mwingine hakuna umeme kwa sababu ya mgao wa mara kwa mara na hivyo kuleta usumbufu mkubwa pindi unapohitaji angalau hata kuchaji simu yako.
Basi ondoa shaka hapa utapata suruhisho la tatizo lako na kujipatia mbinu mpya ya kuzalisha umeme nyumbani kwako. Naelewa sasa unahamu kubwa ya kujua jinsi gani utafanikiwa kufanya hivyo.
Utahitaji kuwa na vifaa vitakavyokusaidia kutimiza jambo hili. Vifaa hivyo ni rahisi kupatika katika eneo lenu kwa gharama nafuu, vinapatika katika maduka ya vifaa vya umeme au vifaa vya ujenzi.
Vifuatavyo ni vifaa unavyopaswa kuwa navyo:-
- Nyundo
- Misumali
- Msumeno
- Mbao 4”
- Dynamic motor cycle
- Plastiki tupu za maji 4
- Waya wa futi 12 – 15
- Mti mrefu wa futi 10/ bomba lenye urefu wa futi 10.
- Seal tape 1
- Swichi ya kitandani (bed switch)
- Switch socket
- Bisibisi ya flat na star
- Transformer ya DC to AC
Hivyo juu ni vitu muhimu sana katika kazi ya kutokeza umeme utakao kusaidia kuchaji simu yako au hata kusikiliza Redio yako ndogo ukiwa nyumbani.
Tuonane katika makala ifuatayo nitakayo kuonyesha hatua kwa hatua jinsi ya kuunganisha vifaa hivyo na mwishowe ujipatie umeme huku ukiwa umetumia gharama ndogo sawa na bure.
Je, una maoni kuhusu makala hii? Nitumie maoni yako hapa chini kwenye kisanduku.
HABARI ZA SAA HIII,,,MM NIMEVUTIWA NA MAKALA YAKO,,ILA TATIZO NIKWAMBA MAKALA YAKO HAIJA KAMILKA,,,HIVYO BASI TUNAOMBA UTUSAIDIE KUONYESHA JINSI YA KUUNGANISHA,,,,NA SWALI NI KWAMBA JE UNAWEZA KUTUMIA UMEME HUO KUANGALIA/WASHA TV
LikeLike
Asante sana kwanza kwa comment yako nzuri na pili kwa kutembelea blog hii ya The click Technology. Kwa ufupi umeme huu si rahisi kuwashia TV, isopokuwa kama utatumia kifaa kinachoitwa Inverter ili kubadili umeme wa DC kuwa AC kwakuwa TV za kawaida hutumia umeme angalau kuanzia Volt 110 hadi 240. Kuhusu sasa makala hii nitaimalizia vizuri ili ieleweke. Asante na karibu tena ili kujua kinachoendelea hapa.
LikeLike
Nimeipenda xana style hiyo ya kufua umeme japo cjajua muendelezo wake. Asante na ninakupa pongezi za kutosha.
LikeLike
Asante sana
LikeLike
Kama vip tukutane Whatssapp no. 0786595674
fb: Hussein Jb shija
LikeLike
Usijali bwana Hussein
LikeLike
Ooh!! Simu yangu ina Whatsapp lakini hivi punde nitakuwa online kwa Whatsapp
LikeLike
ASANTE KWA COUMENT YAKO NZURI.
JE, KAMA UNA SOLAR PEKE YAKE, NA HUNA UWEZO WA KUVINUNUA VITU VINGINE (SYSTEM), NA UNAHAMU UWASHE ANGALAU LAPTOP. NITAFANYAJE. NISAIDIE.
LikeLiked by 1 person
Ni muhimu sana kuwa na kifaa aina ya Invetor ili kubadili umeme wa solar kuwa wa kawaida, kwakuwa ili betri ya LapTop ipate chaji ya kutosha ili ijaye inahitaji nguvu ya V 19 Wakati kila cell ya panel ya solar inatoa wastani wa DC V 12 tu sawa na betri ya gari.
LikeLike
Asante karibu tena, nitakupatia maelekezo vizuri ili kufanikisha mapango wako.
LikeLike
nilikuw naomba unipe mfano wa kuunga huo umem
LikeLiked by 1 person
Ulikuwa una maanisha mchoro wa jinsi ya kuunganisha umeme huo?
LikeLike
mko vizuri sana jamani kufunga sasa ndo shida
LikeLike
Asante sana, endelea kupiti ukurasa hizi kwa habari zaidi
LikeLike
mbona imeishia hapo?
LikeLike
Nitaimalizia, kuna mambo naweka sawa katika hiyo topic. Asante kwa komenti yako..Karibu sana
LikeLike
Hongera sana ndugu, nimeipenda sana makala yako hii lakini imekuwa kidogo mno. Kwa mimi mwenye ujuzi kiasi wa electric and electronics, nilitamani sana uimalizie hii makala, na pia naomba kama ikikupendeza, unitumie maelekezo namna ya kuunga mfumo huo kisha nipate hiyo nishati. mwisho nauliza swali, je, hiyo ni nishati ya moja kwa moja ama ina usumbufu kama wa solar? Solar ikikosa jua kwa mfano kwa siku mbili au tatu mfululizo, inakosa nguvu ama isifanye kazi kabisa hadi jua liwake tena kwa siku kadhaa. Ahsante. E-Mail; melmarandu12@gmail.com
LikeLiked by 1 person
Sawa ndugu, kwanza nimefurahi kupata comment yako. Nitaimalizia sehemu iliyobaki. Karibu tena.
LikeLike
wazo zuri sana bro lakini kwann haya maelezo umeyagawa ka
LikeLiked by 1 person
upon vizuri sana lakini likini mbona haumalizii hio topic naisubiria kwa Hamu
LikeLike
nakuomba sana tena sana umalizie hiyo makala
LikeLiked by 1 person
mimi hivyo vifaa vyote vipo tatizo ni namna ya kuunganisha ,halafu kama inawezekana naomba mbinu nyingine za kuunda umeme!
LikeLike
Naomba unitumiye picha jishi yakuunganisha hivi vifaaa
LikeLike
Munipe mfano kwa picha
LikeLike
sasa mbona hyo mada yenyewe haimaliziwi
LikeLike
Jaman mnatoa lin hizo post
LikeLike
Nahitaji kujua muendelezo wa kutengeneza umeme wa choo
LikeLike
Nataka kujua km naweza tumia kulea vifaranga huo umeme maana nataka nifuge kuku bt sina umeme.sorry nisaidie!
LikeLike
habari zenu ndugu zangu watu wapendao umeme ( Electrician )
Nimekua nikipata cm nyingi sana watu wakidhani me ndo mtoa mada hapo juu. Nimekua nikipata wakati mgumu sana kuwajibu maswali wanayoniuliza.
Jaman wadau me pia ni mpitaji tu kama ninyi mlivopita na kusoma mada hii.
Hussein Jb Shija
LikeLike
mbona muendelezo hakuna jinsi ya kutengeneza huu umeme yani umetaja vifaa tu
LikeLike
Tuonyeshe kwa vitendo hatua kwa hatua, asante.
LikeLike
HABARI
nataka kujuwa kuhusu hii motor sycle je motor ipi inaweza kutosheleza katika matumiza ya uzalishaji wa umeme kati ya motor vot 6 na vot 12 ipi inaweza kuzalisha kwa ufanisi zaidi?
LikeLike